Thursday, January 8, 2015

UTUMISHI YAITISHA KIKAO CHA WAKURUGENZI WA HUDUMA NA UENDESHAJI WA WAKALA ZA SERIKALI

Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (kulia) akizungumza katika kikao cha Wakurugenzi wa Huduma na Uendeshaji wa Wakala za Serikali kilichofanyika ukumbi wa Utumishi mapema leo. 
Baadhi ya Wakurugenzi kutoka Utumishi na washiriki kutoka Wakala za Serikali wakimsikiliza Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (hayupo pichani) katika kikao cha Wakurugenzi wa Huduma na Uendeshaji wa Wakala kilichofanyika ukumbi wa Utumishi mapema leo.
Washiriki kutoka wakala mbalimbali za Serikali wakimsikiliza Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (hayupo pichani) katika kikao cha Wakurugenzi wa Huduma na Uendeshaji wa Wakala kilichofanyika ukumbi wa Utumishi mapema leo.
Kaimu Mkurugenzi, Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi- Utumishi Bw. Nolasco Kipanda akizungumza wakati wa kikao cha Wakurugenzi wa Huduma na Uendeshaji wa Wakala kilichofanyika ukumbi wa Utumishi mapema leo.

No comments:

Post a Comment