Monday, December 15, 2014

WATAALAMU 12 WA KUJITOLEA KUTOKA NCHINI JAPANI WAMALIZA MUDA WA KUTOA HUDUMA NCHINI

Mtalaamu wa kujitolea Bw.Keisuke Yamamoto akitoa mada wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wataalamu wa kujitolea kutoka Japani iliyofanyika Utumishi.

Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw.Mick Kiliba (kushoto) akimpongeza mmoja kati ya watalaam wa kujitolea kutoka nchini Japani Bw.Keisuke Yamamoto baada ya kumaliza muda wa kujitolea nchini.

Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw. Mick Kiliba (wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wataalamu wa kujitolea kutoka nchini Japani waliomaliza muda wao wa kutoa huduma nchini mara baada ya hafla fupi iliyofanyika Utumishi.Wengine ni Maafisa Waandamizi kutoka Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma.

No comments:

Post a Comment