Thursday, December 11, 2014

Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji  Maadili ya Ofisi ya Rais - Utumishi Bw. Mathew Kirama akitoa maoni katika kikao cha kujadili matokeo ya utafiti juu ya hali ya maadili katika Utumishi wa Umma.

Mtaalamu mwelekezi toka Chuo Kikuu cha Mzumbe Dkt. Francis Mwaijande (wa pili toka kushoto) akiwasilisha matokeo ya utafiti juu ya hali ya uzingatiaji wa maadili katika Utumishi wa Umma.

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa kwanza kulia) akizungumza katika kikao cha kujadili matokeo ya utafiti juu ya hali ya uzingatiaji wa maadili katika Utumishi wa Umma.

Mwakilishi wa shirika lisilo la kiserikali la TWAWEZA Bw. Joseph Mbando (aliyesimama) akitoa maoni katika kikao cha kujadili matokeo ya utafiti juu ya hali ya uzingatiaji maadili katika Utumishi wa Umma.

No comments:

Post a Comment