![]() |
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Xavier Daudi akishiriki ibada
maalum ya kuuaga mwili wa Marehemu Mhe
Jenista Mhagama ambaye aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – UTUMISHI
leo 13/12/2025 Jijini Dodoma. |
![]() |
Mkurugenzi wa Mishahara Malupulupu
na Maslahi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi.
Mariam Mwanilwa (Kulia) akiwa na Mkurugenzi Msaidizi Mipango na Bajeti ofisi
hiyo Bi. Julieth Magambo (Kushoto) wakishiriki Misa ya Kuuga mwili wa aliyewahi
kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – UTUMISHI Mhe Jenista Mhagama Leo tarehe
13/12/2025 katika Parokia ya Kiwanja Cha Ndege Jijini Dodoma. |







No comments:
Post a Comment