Saturday, December 13, 2025

MATUKIO YA PICHA LEO DISEMBA 13, 2025 IKIWA KATIKA IBADA MAALUM YA KUAGA MWILI WA ALIYEWAHI KUWA WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS - UTUMISHI MAREHEMU JENISTA MHAGAMA JIJINI DODOMA

 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwasili katika Kanisa Katoliki Parokia ya Kiwanja cha Ndege Jijini Dodoma leo tarehe 13/12/2025 kwa ajili ya kushiriki misa maalum ya kuuaga mwili wa Marehemu Mhe Jenista Mhagama ambaye aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – UTUMISHI.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akiteta na mmoja wa wananchi aliyefika katika misa maalum ya kuuga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – UTUMISHI Mhe. Jenista Mhagama jijini Dodoma Disemba 13, 2025.

 Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Xavier Daudi akishiriki ibada maalum ya kuuaga  mwili wa Marehemu Mhe Jenista Mhagama ambaye aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – UTUMISHI leo 13/12/2025 Jijini Dodoma.

 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bw. Juma Mkomi akiteta na Waziri wa Nchi Mambo ya Ndani Mhe. George Simbachawene leo Disemba 13, 2025 maara baada ya kumaliza ibada ibada maalum ya kuuaga  mwili wa Marehemu Mhe Jenista Mhagama ambaye aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – UTUMISHI jijini Dodoma.


  Mkurugenzi wa Mishahara Malupulupu na Maslahi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bi. Mariam Mwanilwa (Kulia) akiwa na Mkurugenzi Msaidizi Mipango na Bajeti ofisi hiyo Bi. Julieth Magambo (Kushoto) wakishiriki Misa ya Kuuga mwili wa aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – UTUMISHI Mhe Jenista Mhagama Leo tarehe 13/12/2025 katika Parokia ya Kiwanja Cha Ndege Jijini Dodoma.

 Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu Ofisi ya Rais – UTUMISHI Bw. Mussa Magufuli akiwasili katika Kanisa Katoliki parokia ya kiwanja cha ndege Jijini Dodoma leo tarehe 13/12/2025 kwa ajili ya kushiriki misa ya kuuaga mwili wa Marehemu Mhe Jenista Mwagama ambaye aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – UTUMISHI.

Mkurugenzi Msaidizi Utawala Ofisi ya Rais – UTUMISHI Bi.Nyasinde Mukono akiwasili kwa ajili ya kushiriki Ibada Maalum ya kuuaga mwili wa aliyewahi kuwa Waziri wa Ofisi ya Rais – UTUMISHI Marehemu Jenista Mhagama katika Parokia ya Kiwanja cha Ndege Jijini Dodoma Disemba 13, 2025.




No comments:

Post a Comment