Sunday, September 27, 2015

MAPOKEZI YA MWILI WA ALIYEKUWA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS-UTUMISHI MHE. CELINA O. KOMBANI (MB)

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi Mhe. Celina O. Kombani (Mb) ukipokelewa katika Kiwanja cha ndege cha Mwalimu J.K Nyerere mara baada ya kuwasili kutoka nchini India jana jioni.

Baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi wakiwa na waombolezaji wengine wakisubiri kuupokea mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi katika Kiwanja cha Mwalimu J.K Nyerere jana jioni.

No comments:

Post a Comment