Tuesday, September 15, 2015

UTUMISHI YAFANYA KIKAO KAZI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI (VIDEO CONFERENCE)

Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw.HAB Mkwizu (kulia) akifungua kikao kazi kwa njia ya Ki-elektroniki (video conference)kilichojumuisha Ofisi ya Rais-Utumishi na Mikoa ya Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, Lindi, Dodoma, Geita, pamoja na Ofisi za Wizara ya Fedha, TAMISEMI, Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma, Tume ya Utumishi wa Umma na Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa katika ukumbi wa Utumishi mapema leo.
Watumishi wa Ofisi ya Rais-Utumishi (kushoto) wakifuatilia mada zinazowasilishwa wakati wa kikao kazi kwa njia ya Ki-elektroniki (video conference)kilichojumuisha Ofisi ya Rais-Utumishi na Mikoa ya Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, Lindi, Dodoma, Geita, pamoja na Ofisi za Wizara ya Fedha, TAMISEMI, Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma, Tume ya Utumishi wa Umma na Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa.  

No comments:

Post a Comment