Wednesday, May 22, 2019

NAIBU KATIBU MKUU-UTUMISHI AFUNGA SEMINA YA KUZIJENGEA UWEZO NCHI WANACHAMA WA KAMISHENI YA UMOJA WA AFRIKA KUHUSU UTEKELEZAJI NA UTOAJI WA TAARIFA ZA MKATABA WA MISINGI NA KANUNI ZA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BARANI AFRIKA



Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Francis Michael akifunga Semina ya Kuzijengea Uwezo Nchi Wanachama wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika kuhusu Utekelezaji na utoaji wa tarifa za Mkataba wa Misingi na Kanuni za Utumishi wa Umma na Utawala Barani Afrika iliyomalizika leo jijini Dar es Salaam.

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Francis Michael akimsikiliza Mwakilishi wa Kurugenzi inayoshughulikia Masuala ya Siasa Umoja wa Afrika, Bw. Issaka Garba Abdou wakati wa kufunga Semina ya Kuzijengea Uwezo Nchi Wanachama wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika kuhusu Utekelezaji na utoaji wa tarifa za Mkataba wa Misingi na Kanuni za Utumishi wa Umma na Utawala Barani Afrika iliyomalizika leo jijini Dar es Salaam.

Sehemu ya wajumbe wa Semina ya Kuzijengea Uwezo Nchi Wanachama wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika kuhusu Utekelezaji na utoaji wa tarifa za Mkataba wa Misingi na Kanuni za Utumishi wa Umma na Utawala Barani Afrika wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Francis Michael alipokuwa akifunga semina hiyo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment