Wednesday, December 31, 2014
Monday, December 15, 2014
WATAALAMU 12 WA KUJITOLEA KUTOKA NCHINI JAPANI WAMALIZA MUDA WA KUTOA HUDUMA NCHINI
| Mtalaamu wa kujitolea Bw.Keisuke Yamamoto akitoa mada wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wataalamu wa kujitolea kutoka Japani iliyofanyika Utumishi. |
| Kaimu Katibu Mkuu Utumishi Bw.Mick Kiliba (kushoto) akimpongeza mmoja kati ya watalaam wa kujitolea kutoka nchini Japani Bw.Keisuke Yamamoto baada ya kumaliza muda wa kujitolea nchini. |
Thursday, December 11, 2014
| Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Maadili ya Ofisi ya Rais - Utumishi Bw. Mathew Kirama akitoa maoni katika kikao cha kujadili matokeo ya utafiti juu ya hali ya maadili katika Utumishi wa Umma. |
Mtaalamu mwelekezi toka Chuo Kikuu cha Mzumbe Dkt. Francis
Mwaijande (wa pili toka kushoto) akiwasilisha matokeo ya utafiti juu ya hali ya
uzingatiaji wa maadili katika Utumishi wa Umma.
|
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais - Utumishi Bw. HAB Mkwizu (wa
kwanza kulia) akizungumza katika kikao cha kujadili matokeo ya utafiti juu ya
hali ya uzingatiaji wa maadili katika Utumishi wa Umma.
|
Subscribe to:
Comments (Atom)

