Monday, October 19, 2015

WAANDISHI WA HABARI NCHINI WAPATA FURSA KUSHIRIKI MKUTANO KWA NJIA YA VIDEO ULIORATIBIWA NA WAKALA YA MAFUNZO KWA NJIA YA MTANDAO Ukitaka kujua namna wakala hiyo inavofanya kazi tembelea tovuti ya Ofisi ya Rais-Utumishi (www.utumishi.go.tz) na bofya taarifa kwa Vyombo vya Habari iliyotolewa na TaGLA....

Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA) Bw. Charles Y. Senkondo (kulia),  Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Rais - Utumishi Bw. Florence Temba (katikati) na Mratibu wa Mafunzo wa TaGLA Bw. Dickson Mwanyika (kushoto) wakishiriki mkutano kwa njia ya video (Video Conference) uliofanyika kwa kushirikiana na Kenya School of Government. Wengine ni Waandishi wa Habari kutoka katika Vyombo mbalimbali vya habari nchini.

Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA) Bw. Charles Y. Senkondo (kulia)  akifafanua jambo kwa  Waandishi wa Habari namna ofisi yake inavyoratibu uendeshaji wa mikutano kwa njia ya video (Video Conference). Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Rais - Utumishi Bw. Florence Temba.

No comments:

Post a Comment